Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, akizungumza na vijana katika hafla ya kukabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya udereva iliyofanyika Makambako, Mkoani Njombe, leo Julai 15, 2026.
Katika hotuba yake, Mhe. Nanauka amewahimiza vijana kujenga mazoea ya kujifunza kila siku kwa kuongeza ujuzi na uzoefu katika fani wanazozifanya, akieleza kuwa kujifunza kwa vitendo na kuendelea kujiendeleza kitaaluma ni msingi wa kuongeza ushindani, kupata ajira na kufanikiwa katika shughuli za kiuchumi.
- "Huduma bora: Mafunzo ya NeST Morogoro yaiweka Ofisi ya...
- Makundi maalumu ikiwemo Vijana waaswa kujiunga NeST kupata fursa ya 30% ya Zab...
- Huduma bora kwa watanzania, NeST kutoa fursa kwa wazabuni wa...
Serikali imekabidhi pikipiki 22 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 87 kw...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, am...